Kaka Michuzi Assalam Alaykum pole na mihangaiko najua hukosi kwenye Pertnership inayoendelea, Nilikuwa nauza Video mixer ingesaidia sana kwenye mikutano hiii

Roland V8 video mixer ina 8 INPUT CAMERAS na 8 OUTPUT professional imeshinda award ya Olympics 2008.
Panasonic Video mixer -MX50 4 INPUTS CAMERAS
CIMA-YCP -9 Ina 2 IPUTS CAMERAS
Zimejaaa lots of effects ukigoole au youtube hayo majina basi utaziona function zake Nimeona kwenye Partnership unahangaika na Camera moja tu sasa ukiweza kuunga camera 8 ingekusaidia.

Maelezo zaidi wasiliana na nuramoboy@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...