Wapiganaji walipokutana na mpiganaji mwenzao hivi karibuni katika harakati za kusaka taswira,pichani kulia ni Bashir Nkoromo na kushoto ni Richard Mwaikenda (na pichani kati ni Mwanadada mpiganaji akiwa ameshikiria makini kifaa chake cha kazi,la ajabu hakutaka jina lake lijulikane),lakini alionekana kivutio kikubwa katika utafutaji wa taswira za tukio husika (Picha na Mdau.).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...