Rais Jakaya Kikwete akifunua kitambaa cha jiwe la msingi ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Mradi wa Ujenzi wa Barabara Kyaka-Bugene,Wilaya ya Karagwe,Mkoani Kagera.
Rais Jakaya Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na baadhi ya watendaji katika mradi wa Ujenzi wa Barabara Kyaka-Bugene,Wilaya ya Karagwe,Mkoani Kagera mara baara ya kuuzindua.
Home
Unlabelled
JK azindua Mradi wa Ujenzi wa Barabara Kyaka-Bugene,Wilayani Karagwe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mheshimiwa Rais asante sana mkoa wetu umeingia kwenye ramani. Tunakuomba mara kwa mara utembelee kagera ili hata wale viongozi ambao hujiona marais wa kagera kwa sabb viongozi wa ngazi za juu hawatembelei mkoa huu wajisie kuwa wao si marais.
ReplyDeleteViongozi wa kitaifa endelea kutembelea mkoa huu. wananchi wananyanyaswa na viongozi wa mkoa huu . asanteni