Rais Jakaya Kikwete akifunua kitambaa cha jiwe la msingi ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Mradi wa Ujenzi wa Barabara Kyaka-Bugene,Wilaya ya Karagwe,Mkoani Kagera.
Rais Jakaya Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na baadhi ya watendaji katika mradi wa Ujenzi wa Barabara Kyaka-Bugene,Wilaya ya Karagwe,Mkoani Kagera mara baara ya kuuzindua.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2013

    Mheshimiwa Rais asante sana mkoa wetu umeingia kwenye ramani. Tunakuomba mara kwa mara utembelee kagera ili hata wale viongozi ambao hujiona marais wa kagera kwa sabb viongozi wa ngazi za juu hawatembelei mkoa huu wajisie kuwa wao si marais.

    Viongozi wa kitaifa endelea kutembelea mkoa huu. wananchi wananyanyaswa na viongozi wa mkoa huu . asanteni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...