Bunge la Tanzania kupitia kamati yake ya PAC litakuwa mwenyeji wa Mkutano wa 10 wa Umoja wa kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADCOPAC) utakaofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 2 hadi 7 Septemba, 2013.
Mwenyekiti wa umoja wa kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka nchi za SADC (SADCOPAC) Mhe. Sipho Makama akiwaeleza waandishi wa Habari kuhusu kufanyika kwa Mkutano huo hapa nchini kuanzia tarehe 2 hadi 7 Septemba, 2013, jijini Arusha.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ambaye pia ndiye mwenyeji wa Mkutano wa mwaka wa umoja wa kamati za Bunge za Hesabu za Serikali kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADCOPAC) Mhe. Zitto Kabwe akifafanua jambio kuhusu mkutano wa SADCOPAC utakafanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 2 hadi 7 Septemba, 2013. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...