Mbunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shrose Bhanji akizungumza kwenye hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Alicia K Designs kwa ajili ya kuwapa wanawake mbinu za ujasiriamali katika ukumbi wa Mezaluna jijini Arusha.
 Mbunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shyrose Bhanji (wa pili kulia) akiwasha Mshumaa, ishara ya upendo wakati wa hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Alicia K Designs. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Alicia Matasia, Mwanamitindo ambaye ni mke wa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Faraja Kota Nyalandu na Mjasiriamali wa jijini Arusha, Isabela Mwampamba.
 Mbunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shyrose Bhanji (wa pili kulia) na Mwanamitindo, Faraja Kota Nyalandu wakikata Keki wakati hafla ya Chakula cha jioni,iliyofanyika Mezaluna jijini Arusha.
 Mbunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Shyrose Bhanji (wa pili kulia) akimlisha Keki Mjasiriamali wa jijini Arusha, Isabela Mwampamba wakati wa hafla ya usiku iliyoandaliwa na Alicia K Designs, shoto ni Mkurugenzi wa taasisi hiyo,Alicia Matasia na Mwanamitindo, Faraja Kota Nyalandu
 Burudani ya nguvu ilikuwepo kuwafanya wasichana na wanawake waliohudhuria kuburudika vilivyo.
Mkurugenzi wa Alicia K Designs, Alicia Matasia akitoa neno la shukrani kwa wageni waliofika kwenye hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...