Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua shamba la Kikundi cha vijana cha Igogo wilayani Igunga akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Tabora Agosti 31, 2013. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo, Ole Gabriel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...