Tunayofuraha kukupa taarifa rasmi kuwa Tasnia ya Filamu Tanzania sasa imepata tamasha la kuonyesha sinema za kiswahili (Bongomovies). Tamasha litafanyika tarehe 24-26, Septemba 2013, Katika Viwanja Vya Posta-Kijitonyama. Pia Workshop, Exhibition na Film Forum vitafanyika. 

Kiingilio ni Bure!!!! Samabaza Ujumbe kwa wapenzi wa filamu. kwa habari zaidi tembelea www.filamucentral.co.tz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...