Tunayofuraha kukupa taarifa rasmi kuwa Tasnia ya Filamu Tanzania sasa imepata tamasha la kuonyesha sinema za kiswahili (Bongomovies).
Tamasha litafanyika tarehe 24-26, Septemba 2013,
Katika Viwanja Vya Posta-Kijitonyama.
Pia Workshop, Exhibition na Film Forum vitafanyika.
Kiingilio ni Bure!!!!
Samabaza Ujumbe kwa wapenzi wa filamu.
kwa habari zaidi tembelea www.filamucentral.co.tz
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...