Wasanii wa Muziki wanaounda kundi la Kigoma All Stars (Leka Dutigite) wakiwapagawisha Mashabiki wao waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma wakati wa Tamasha la Muendelezo la Kili Music Tour 2013 lililofanyika mwishoni mwa wiki. 
Barnaba akifanya mambo yake.
Mkali wa RnB,Muite Ben Pol akionyesha kujikubali kwake wakati wa Tamasha la Kili Music Tour 2013,lililofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Uwanja wa Lake Tanganyika,Mkoani Kigoma.
Mkali wa Hip Hop kwa Mwaka 2012/13,Kala Jeremier akionyosha ukali wake kwa Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wakati wa Tamasha la Kili Music Tour 2013,lililofanyika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma.
Fid Q akiwapa kitu roho inapenda wakazi wa Kigoma.
Ni Shangwe tupu kwa Wakazi wa Kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...