Ni Miaka mingi sasa imepita huku shimo hilo la chemba likifanyiwa vibweka vya kuwekewa mavitu ya aina mbali mbali ikiwa ni ishara ya alama kwamba hapa kuna shimo.kiukweli shimo hili ni kero sana kwa watumiaji wa njia hiyo hasa ukizingatia lipo maeneo ya katikati ya jiji la Dar pembeni ya jengo refu la Benjamin Mkapa Tower na usoni kwa Makao Makuu ya Benki ya NMB.swali linakuja,hivi ni kweli kwamba hapa pameshindikana kufanyiwa kabisa kutafutiwa ufumbuzi yakinifu?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Jamani Manispaa, mnatumia muda mwingi kukimbizana na Wamachinga Jijini huku mkitoza Wafanya biashara ada nyingi tu.

    tunapokea Mabilonea wa Dunia wakija Bongo kwenye Utalii zibeni mitaro hiii haraka sana!

    ReplyDelete
  2. Kweli haya ni maajabu. Viongozi wenye dhamana wanasubiri wawekezaji waje wazibe hili shimo. Vitu vidogo kama hivi vinatosha kurudisha nyuma mazingira ya uwekezaji. Sisi tunakimbilia kutoa misamaha ya kodi. Viongozi wa jiji bwana wanafurahisha. Uchafu kibao. Jiji linafagiliwa kwa fagio la mti!!!!!

    ReplyDelete
  3. Kama vyuma vinaondolewa na watu wa vyuma chakavu, zibua chemba uweke mifuniko ya zege, kuweka kisiki ni kwa ajili ya kuonya watumiaji wa barabara.

    ReplyDelete
  4. Jamaa hawachelewi kusingizia diaspora, inagwa hatupo kwenye uchaguzi wa vingozi wao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...