Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media wanakuletea ziara ya Raisi Jakaya Kikwete London Tarehe 30.3.14 kukutana na watanzania waishio uingereza.

Kabla ya kuwasili kwake mh Rais shirika la NSSF lilipata fursa ya kutambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania wote waishio Ughaibuni ili kuwawezesha kupata unafuu wa kusafirisha mwili au mazishi pale popote alipo mara anapofariki ughaibuni. Pia Bima hio kusaidia matibabu kwa ndugu na jamaa kadhaa nyumbani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ndg Mashaka, hakika ni Lulu ya Tanzania. Hata tofauti na Nyerere au Dr. Slaa

    ReplyDelete
  2. Ndugu zangu wa Urban Pulse mkumbuke kuwa sisi wa huku internet tunalipia kwa MB kwahio tunaomba msirembe sana, wekeni vitu straight to the point ukizingatia net yenyewe 128kbps!

    ReplyDelete
  3. Je, nikitaka kujiunga na mpango wa WESTAD, na ninasoma huku Marekani na ninapaswa kununua health insurance kila mwaka kwa $1,567 ni siwezi kupata hiyo ninaweza kupata $300 kwa mwaka za kujiunga na mpango huo naweza kutumia mpango huo nikiwa huku Marekani? naomba ushauri wenu watanzania kwani nami ni mtanzania wa Marekani, mwanafunzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...