Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwasalimia baadhi ya Wajumbe waa Chama cha Mapinduzi CCM waliofika katika hafla ya kupongezwa baada ya kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akihutubia mamia wa wanachama wa CCM wilaya ya Chato waliojitokeza katika mkutano huo wa kupongezana.
Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akipakua wali kwa ajili ya wajumbe waliohudhuria mkutano huo wa kujipongeza kwa ushindi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...