Taasisi ya RafikiElimu FOUNDATION kupitia Mradi wa Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini, inatangaza nafasi za MAFUNZO YA UJASIRIAMALI. Mafunzo yatakayo tolewa ni pamoja na : 
1. Jinsi ya kutengeneza mashine za kutotolea vifaranga wa kuku. 
 2. Uanzishaji na undeshaji wa taasisi zisizo kuwa za kiserikali. 
 3. Jinsi ya kutengeneza aina sita za soda 
 4. Jinsi ya kutengeneza bia aina mbali mbali 
5. Jinsi ya kutengeneza vodka na pombe nyingine kali kwa vipimo 
6. Jinsi ya kutengeneza fruit wine ( wine ya matunda mbali mbali) 
7. Jinsi ya kutengeneza pipi, jojo (chewing gum), toffee n.k 
8. Jinsi ya kutengeneza yogurt, ice cream na cheese 
9. Jinsi ya kutengneneza tambi aina ya pasta. 
10. Jinsi ya kutengeneza sabuni za kuogea 
11. Jinsi ya kutengeneza scrub 
12. Jinsi ya kutengeneza lotion 
13. Jinsi ya kutengeneza manukato (perfumes) za aina mbalimbali. 
14. Jinsi ya kutengeneza mafuta ya kupaka 
15. Jinsi ya kutengeneza lip balm 
16. Jinsi ya kutengeneza dawa mbalimbali za mimea zitokanazo na mimea tunayotumia kila siku 
17. Jinsi ya kutengeneza vyakula lishe mbalimbali. 
18. Jinsi ya kutengeneza Sabuni za mche 
19. Jinsi ya kutengeneza Sabuni ya unga 
20. Jinsi ya kutengeneza Sabuni ya maji 
21. Jinsi ya kutengeneza Shampoo 
22. Jinsi ya kutengeneza Dawa ya usafi chooni 
23. Jinsi ya kutengeneza Dawa ya kusafishia Tiles. 
24. Jinsi ya kutengeneza Mishumaa 
25. Jinsi ya kutengeneza Chaki 
26. Jinsi ya kutengeneza Tomato & Chilli Sauce 
27. Jinsi ya Kutengeneza Jam ya Nyanya na Nanasi 
28. Jinsi ya kutengeneza Biscuits 
29. Jinsi ya kutengeneza Mkate wa ndizi 
30. Usindikaji wa vyakula mbalimbali. 
31. Jinsi ya kutengeneza kiwi 
32. Jinsi ya kutengeneza blue band. 
33. Usindikaji wa bidhaa za ngozi. 
34. Somo la masaji 
35. Ubunifu , uendeshaji na usimamizi wa miradi mbalimbali.
36. Uendeshaji na Usimamizi wa vikundi vya kuweka na kukopa fedha. 
37. Utengenezaji wa vyakula vya mifugo. 
38. Utunzaji wa wazee na watoto wachanga. 
39. Kutunza na kulea watoto yatima. 
40. Pamoja na vitu vingine vingi. 

 SIFA ZA MWOMBAJI : 
1. Awe kijana wa kitanzania 
 2. Anaye jua kusoma na kuandika. 
 3. Kwa watakao taka kutosoma kozi namba 2, 35 na 36, mwombaji lazima awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea. 
 ADA YA MAFUNZO : 
Mafunzo haya yanatolewa bure. 
FOMU ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO : Fomu za kujiunga na mafunzo haya zinapatikana ofisini kwetu kwa gharama ya SHILINGI ELFU KUMI NA TANO TU (Tshs.15,000/=) 
OFISI ZETU zinapatikana jijini DAR ES SALAAM katika eneo la CHANGANYIKENI karibu na CHUO CHA TAKWIMU mbele ya CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM. 
JINSI YA KUFIKA OFISINI KWETU : Kufika ofisini kwetu panda daladala za MAWASILIANO TOWER - CHANGANYIKENI kisha shuka kituo cha TAKWIMU halafu tembea hatua ishirini mbele utaona ofisi imeandikwa RAEFO TANZANIA. 
KWA WAOMBAJI WALIO NJE YA MKOA WA DAR ES SALAAM. 
Kwa waombaji waliopo nje ya mkoa wa Dar Es salaam, mafunzo yatatolewa kwa njia ya posta. Jinsi ya kuomba,andika barua pepe ya maombi ya fomu ya kujiunga na mafunzo haya, nasi tutakutumia fomu yenye maelekezo yote. 
Maombi yako yaandikwe kupitia barua pepe yetu : rafikielimutanzania@gmail.com 
Maombi yaelekezwe kwa 
 Mkurugenzi Mtendaji, 
RafikiElimu Foundation, 
S.L.P 35967, 
DAR ES SALAAM. 
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI TAREHE 28 FEBRUARI 2015. 
MAFUNZO YATAANZA TAREHE 02 MACHI 2015. 
Kwa maelezo zaidi, piga simu 0688 049 687. 
Au tembelea www.rafikielimu.blogspot.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...