Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA), Arch. Elius Mwakalinga, akisoma taarifa ya mkutano wa Mameneja mikoa wa TBA nchini uliofanyika jijini Dar es salaam, katikati kulia ni Waziri wa Ujenzi  Dkt. John Magufuli, akisikiliza kwa makini taarifa hiyo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe (kulia), akifafanua jambo katika mkutano wa Mameneja wa mikoa wa TBA nchini, katikati ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) ni Mwenyekiti wa Bodi wa TBA Dkt. Edward Ngwale.
 
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (katikati), akitoa maelekezo kwa Mameneja wa mikoa wa TBA nchini waliohudhuria mkutano huo uliofanyika jijini Dar es salaam, Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya TBA Dkt. Edward Ngwale.
 Baadhi ya Mameneja wa mikoa mbalimbali wa TBA nchini waliohudhuria mkutano huo, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani).
Baadhi ya Mameneja mikoa wa TBA wakiangalia jengo la Ghorofa nane ambalo litakuwa na uwezo wa kuishi familia 16 katika eneo la Sida-Ada Estate jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...