Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa Majengo nchini (TBA), Arch. Elius Mwakalinga, akisoma taarifa ya
mkutano wa Mameneja mikoa wa TBA nchini uliofanyika jijini Dar es salaam, katikati
kulia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John
Magufuli, akisikiliza kwa makini taarifa hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe
(kulia), akifafanua jambo katika mkutano wa Mameneja wa mikoa wa TBA nchini, katikati
ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) ni Mwenyekiti wa Bodi
wa TBA Dkt. Edward Ngwale.
Waziri wa Ujenzi Dkt.
John Magufuli (katikati), akitoa maelekezo kwa Mameneja wa mikoa wa TBA nchini
waliohudhuria mkutano huo uliofanyika jijini Dar es salaam, Kulia ni Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya
TBA Dkt. Edward Ngwale.
Baadhi ya Mameneja wa mikoa
mbalimbali wa TBA nchini waliohudhuria mkutano huo, wakimsikiliza kwa makini
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani).
Baadhi ya Mameneja
mikoa wa TBA wakiangalia jengo la Ghorofa nane ambalo litakuwa na uwezo wa
kuishi familia 16 katika eneo la Sida-Ada Estate jijini Dar es salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...