Katibu Mkuu wa Chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),Rashid Salehe akizungumza na madereva (hawapo pichani) katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mgomo wa mabasi yaendayo mikoani.
Makamu Mwenyekiti wa chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),akizungumza na Madereva wa mabasi yanayosafirisha abiri (hawapo hewani),waliogoma kusafirisha abiri kwa madai yao ya Mikataba ya kazi pamoja na Ajira za kudumu.
  Madereva wakiwa wameshika mabango katika mgomo wa Madereva leo katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam.
Usalama nao haukuwa mbali na mikusanyiko ya  Madereva katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam. 
 Abiria wakisubiri usafiri wowote katika kituo cha mawasiliano-Ubungo jijini Dar es Salaam leo.
 Mabasi ya mikoani yakiwa yameegeshwa katika stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2015

    Tunasubiri kuokota kazi-mzumbwi, mabwe- p au pugu kajiungeni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...