Katibu Mkuu wa Chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),Rashid Salehe akizungumza na madereva (hawapo pichani) katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mgomo wa mabasi yaendayo mikoani.
Makamu Mwenyekiti wa chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),akizungumza na Madereva wa mabasi yanayosafirisha abiri (hawapo hewani),waliogoma kusafirisha abiri kwa madai yao ya Mikataba ya kazi pamoja na Ajira za kudumu.
Madereva wakiwa wameshika mabango katika mgomo wa Madereva leo katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam.
Usalama nao haukuwa mbali na mikusanyiko ya Madereva katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Abiria wakisubiri usafiri wowote katika kituo cha mawasiliano-Ubungo jijini Dar es Salaam leo.
Mabasi ya mikoani yakiwa yameegeshwa katika stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii)
Tunasubiri kuokota kazi-mzumbwi, mabwe- p au pugu kajiungeni.
ReplyDelete