Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwakaribisha Wajumbe wa
Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwa Ikulu jijini Dar esSalaam, kwa
ajili ya mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na ujumbe kutoka Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leoJulai 21, 2015 kwa mazungumzo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...