Mratibu wa Mpango wa kitaifa wa Kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi
kipaumbele dkt. Upendo Mwingira, akionesha fulana yenye ujumbe wa
kutokomeza magonjwa hayo toka shirika lisilo la kiserikali la nchini
Marekani la Ending Negleted Diseases,walokuja nchini tanzania kwa ajili
ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa za kutokomeza magonjwa
yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Mkoani Arusha
Mratibu wa Trakoma toka hospitali ya KCMC Patrick Masae akifanya
uchunguzi wa macho kwa wananchi wa kata ya Sinya na Tinga Tinga wilayani
Longido
Wanafunzi wa shule ya msingi sinya wakiwaonesha wageni (hawapo pichani)
jinsi wanavyotumia kibuyu mchirizi kwa kunawa hii ni mojawapo wa mkakati
wa usafi wa mazingira na kuimarisha usafi wa kunawa mikono na usi
kutokomeza ugonjwa wa trakoma, upate
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...