Mwanasheria wa
Manispaa ya Ilala, Elizabeth Buwimba, akichangia mada ya wajibu wa mwanamke
kushiriki kwenye uchaguzi na umuhimu wakufanya hivyo wakati wa mdahalo wa
kujadili amani wakati na baada ya uchaguzi, uliofanyika eneo la Pugu jijini Dar
es Salaam.
Mwanasheria kutoka Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) Edna Kamaleki, akiwasilisha mada mbalimbali wakati wa mdahalo wa kujadili amani wakati wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, kwa watendaji wa serikali za mitaa jimbo la Ukonga na watendaji wa Halmashauri ya wilaya na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...