Jeshi la wananchi watanzania JWTZ kwa kushirikiana na umoja wa mataifa limesema litafanya uchunguzi dhidi ya wanajeshi wa Tanzania wanaodaiwa kufanya vitendo vya unyanyasaji nchini Congo. https://youtu.be/kndyFLxcAVE
Polisi kanda maalum ya Dar es salaam yawakata watuhumiwa 63 wa ujambazi na silaha 6. https://youtu.be/cM2nxpweQF4

Serikali imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi trilioni moja kwa ajili ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa sekta ya usafiri wa reli na anga katika juhudi za kukuza uchumi wa nchi.https://youtu.be/_3LKRnzdAos

Waziri wa nishati na madini Prof. Muhongo atoa agizo kwaa wafanyakazi wote wa wizara ya nishati na madini walio na vitalu vya madini kuchagua moja kati  ya kuendelea kuajiriwa na kuacha vitalu vya madini au waache kazi waendelee na vitalu vya madini. https://youtu.be/vWLL61BECXY

Wizara ya afya maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na vitendo yasema itaendelea kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kufungua maduka ya dawa katika kila makao makuu ya mkoa ili kurahisha upatikanaji wa dawa kwa wananchi katika hospitali mbalimbali. https://youtu.be/qRfuWiwHGKI

Moto mkubwa wateketeza mabweni ya shule ya sekondari Soni Day wilayani Lushoto na kusababisha hasara ya takribani milioni 167. https://youtu.be/26_sGAvrZXo

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam yawatia mbaroni watuhumiwa 63 wa ujambazi huku pia likikamata silaha 6 katika msako maalum.https://youtu.be/6GbQSYE_Tgs

Waziri mkuu Kassim Majaliwa azitaka jumiya za serikali za mitaa nchini ALAT kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali katika kupambana na rushwa na uvujaji wa mapato. https://youtu.be/K_g7rz1YacY

Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania JWTZ, laeza kushitushwa na taarifa za kulituhumu jeshi hilo juu ya unyanyasaji wa kijinsia kwa wananchi wa Congo huku liki ahidi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kali. https://youtu.be/tC8hmY2qW_0

Nyumba zaidi ya 12 zimeanguka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Tabora na kusababisha kaya kadhaa kukosa makazi. https://youtu.be/kqql6EYVt3c

Serikali yasema bajeti ya dawa kwa mwaka ujao wa fedha 2016/2017 itakuwa ni zaidi ya mara 3 ya bajeti ya mwaka uliopita ili kuondoa tatizo la dawa na vifaa tiba katika hospitali, vituo vya afya na zahanati nchini. https://youtu.be/Dn--9A4BWXQ 

Hatimae ofisi ya madini ya mkoa wa Geita yaufungua mgodi wa Mgusu baada kufungwa hapo awali kwa takribani mwezi 1 kufuatia vifo vya watu 5.https://youtu.be/apX7zOr80PI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...