Mamaa wa mitindo Asya Idarous Khamsini akipata picha ya kumbukumbu baada ya siku ya Jumamosi Aug 6, 2016 kufanya kweli kwenye kenya Women Reunion iliyoyanyika katika hotel ya Hilton Garden Inn  iliyopo mtaa wa State Highway Dallas, Texas nchini Marekani.
Mlimbwende wa mitindo akiwa kwenye kivazi kilichowavutia wengi kutoka kwa mama mitindo Asya Idarous Khamsini alipofanya kweli siku ya Jumamosi Aug 6, 2016  kwenye kenya Women Reunion iliyoyanyika katika hotel ya  Hilton Garden Inn  iliyopo mtaa wa State Highway Dallas, Texas nchini Marekani.
Mlimbwende akiwa katika pozi na kivazi cha mama mitindo Asya Idarous Khamsini.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mambo ya ubunifu hayo wakitumia pia khanga

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...