Usikose kufuatili vipindi na taarifa za Azam TV ili kupata utabiri wa hali ya hewa wa kila siku kupitia AZAM TWO ili kufahamu hali ya hewa na viwango vya joto katika mji yetu mbali mbali na kuweza kupanga ratiba zako za siku
Wenzetu wa nchi za Magharibi ambao wanazingatia sana utabiri wa hali ya hewa na wakati mwingine mtu hatoki ndani kama hajasikia utabiri wa hali ya hewa, kwani hajui nini kitampata akiwa mbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...