Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa banki ya Twiga Bancorp, Solomon Haule (kulia) akimkabidhi tuzo mwakilishi wa kikoba cha Beta Life Service Dorice Mwaipopo ikiwa ni inshara ya kutambua juhudi za kikoba hicho katika kurejesha makusanyo yake kwa kila wiki, wa pili kulia ni mtaalamu wa mikopo wa benki hiyo Joseph Samson na pembeni yake ni Meneja wa tawi la Mlimani.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa banki ya Twiga Bancorp, Solomon Haule (kulia) akionesha tuzo aliyoikabidhi kwa kikoba cha Chamabavu , pembeni yake ni mtaalamu wa mikopo wa benki hiyo Joseph Samson pamoja na Meneja wa tawi la Mlimani City, Joseph Tlae.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...