Timu ya mpira wa miguu ya Efm redio ilishika ushindi katika Bonanza la michezo ambalo liliandaliwa na uongozi wa shule ya Baobab ambapo timu mbalimbali za mpira wa miguu zilishiriki ikiwemo Boko Veterani, Bunju Veterani, Bukurumawe F.C, Migude Veterani pamoja na timu ya shule ya sekondari baobab.

Akizungumza katika mashindano hayo Mgeni rasmi Diwani wa Kata ya Mpinga alisema “Efm redio imekua ikionyesha ushirikiano kwa kucheza michezo mbalimbali ikihusisha jamii inayoizunguka kwani ni njia moja wapo ya umoja na mshikamano. Vilevile aliwapongeza uongozi wa shule ya sekondari Baobab kwa kuandaa bonanza hilo kwani michezo huimarisha afya.
Kikosi cha Timu ya Efm wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kushinda Mbuzi katiika mchezo wa mpira wa Miguu katika maadhimisho ya siku ya Nanenane.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...