Taarifa iliyotufikia mchana huu, inaeleza kuwa kuwa Rais wa awamu ya pili wa Zanzibar na Mwenyekitiwa Baraza la Mapinduzi (1972-1984), Mzee Aboud Jumbe Mwinyi amefariki dunia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa na umri wa miaka 96.
Mzee Aboud Jumbe amefikwa na mauti hayo nyumbani kwake Kigamboni, Jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri wa Muungano amemtumia Salaam za rambirambi Rais wa Zanzibar na Mwenyekti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa msiba huu mzito
Mzee Aboud Jumbe amefikwa na mauti hayo nyumbani kwake Kigamboni, Jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri wa Muungano amemtumia Salaam za rambirambi Rais wa Zanzibar na Mwenyekti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa msiba huu mzito
Poleni wafiwa mnapoomboleza kifo cha mzee huyu aliyewahi kuongoza Zanzibar
ReplyDeleteRIP Mzee Aboud, Polen sana familia pamoja na Taifa kwa ujumla kwa msiba huuu.
ReplyDeleteSwali tu, tukisema Serikali haina dini kwa maana ya imani; mbona barua toka Kurugenzi ya mawasiliano ya Ikulu imeweka maneno ya Inna lilahi wa inna ilaihi rajiun? Je nimekosea au wamekosea? Ni swali jema tu na ningependa kuelimishwa toka kwa wataalam na wajuzi wa haya mambo (Protocol).
Asante