Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akiwa katika Kikao na Waziri kutoka
nchini Ufaransa, anayesimamia Mazingira, Nishati na Bahari, Segolene Royal (kulia kwa Naibu Waziri).
Waziri huyo pamoja na Ujumbe wake walifika katika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini
Dar es Salaam ili kuzungumzia uendelezaji wa miradi mbalimbali ya Nishati nchini.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani ( wa kwanza kulia) akiwa katika Kikao na
Waziri kutoka nchini Ufaransa anayesimamia Mazingira, Nishati na Bahari , Segolene Royal (kulia kwa
Naibu Waziri) . Waziri huyo pamoja na Ujumbe wake walifika katika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati
na Madini jijini Dar es Salaam ili kuzungumzia uendelezaji wa miradi mbalimbali ya Nishati nchini. Wa
kwanza kushoto ni Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, James Andilile.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...