CD cover iliyobeba nyimbo
na video zililizoimbwa na Mh Dr Rehema Nchimbi (RC) akishirikiana na Kamanda
Joyce Mwaikofu, kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa watanzania wote kupitia Sanaa
ya Uimbaji.
“Video ipo
tayari na Muda si mrefu itaanza kusamba kwenye vyombo vya habari, na kazi hii
haitauzwa ni bure hivyo vyombo vyote vya habari vinaombwa kushiriki katika
kuwafikishia ujumbe huu wa Tanzania ili kuifanya Tanzania yetu iendelee kuwa ya Amani na Upendo kwa
minaji ya kuwapa watu nafasi ya kufanya kazi za ujenzi wa Taifa kama anavyo
tuasa Rais wetu wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli” Amesema Mtoto wa Mh Dr Rehema Nchimbi, Bw. Sixmund Nchimbi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...