Mkurugeni Mkuu wa Kampuni ya Engen Petroleum Tanzania Lt, Paul Muhato akizungumza wakati wa hafla ya kusherehekea kutimia Miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Kampuni hiyo, iliyofanyika katika Mgahawa wa Rodizio, Mikocheni Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugeni Mkuu wa Kampuni ya Engen Petroleum Tanzania Lt, Paul Muhato
akizungumza na baadhi ya Wafanyakazi Engen Tanzania wakati wa hafla ya kusherehekea kutimia Miaka 20 tangu
kuanzishwa kwa Kampuni hiyo, iliyofanyika katika Mgahawa wa Rodizio,
Mikocheni Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Engen Petroleum Tanzania, wakimsikiliza Mkurugeni Mkuu wao, wakati wa hafla ya kusherehekea kutimia Miaka 20 tangu
kuanzishwa kwa Kampuni hiyo, iliyofanyika katika Mgahawa wa Rodizio,
Mikocheni Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Mkurugeni Mkuu wa Kampuni ya Engen Petroleum Tanzania, Paul Muhato (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni hiyo, wakati wa hafla ya kusherehekea kutimia Miaka 20 tangu
kuanzishwa kwa Kampuni hiyo, iliyofanyika katika Mgahawa wa Rodizio,
Mikocheni Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni hiyo wakiwa katika picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...