Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Ambrose Mtarazaki akizungumza jana na wakazi wa kijiji cha Amani Makolo wakati wa zoezi la uhamasishaji wananchi kujiandaa kwa ajili ya mpango wa kupima ardhi ikiwemo mashamba hatua itayaosaidia wananchi kupata hati na kuzitumia kwa ajili ya kukopa fedha kutoka katika taasisi za fedha hapa nchini.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Ambrose Mtarazaki akielekeza mpango wa upimaji ardhi jana kwa wakazi wa kata ya Maguu wilayani Mbinga ambapo halmashauri hiyo inakusudia kuanza kupima ardhi kuanzia viwanjia,nyumba za makzi na mashamba ili kuwafanya wamiliki wake kupata hati itakayotambulika kisheria.
Mkazi wa kijiji cha Amani Makolo kata ya Amani Makolo wilaya ya Mbinga Andrew Haule akiuliza swali wakati wa mkutano  uhamasishaji wa upimaji ardhi katika kijiji hicho ulioongozwa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga Ambrose Mtarazaki(hayupo pichani),Halmashauri ya wilaya ya Mbinga imeanza utaratibu wa kupima ardhi yote kwenye vijiji na miji midogo.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga Gombo Samandito, akizungumza jana na wakazi wa kata ya Maguu wilayani humo wakati wa zoezi la uhamasishaji wananchi kwa ajili ya kazi ya kupima ardhi itayofanywa na wataalam wa idara ya ardhi katika vijiji na miji midogo yote.Picha na Muhidin Amri.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...