Home
Unlabelled
HIVI NI LINI HII MISHKAKI ITAFIKA TAMATI???
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ni hatari mishikaki ikomeshwe bodaboda watoe ushirikiano kuimaliza
ReplyDeleteHii 'Mishikaki' haitafikia tamati endapo vyombo husika hativakuwa 'serious' katika kukomesha jambo hilo. Nadhani kama kungekuwa na sheria kwa kila atakebainika na kukamatwa na huo Mshikaki wake, basi papo hapo atozwe faini kutegemea na hizo 'finyango' alizozidunga katika huo 'Mshikaki' wake (yaani kila kichwa), tena iwe faini kubwa kwa kila mmoja na kana kwamba haitoshi pia papo hapo taratibu na sheria zitowe adhabu ya kuizuwia leseni ya muhusika kwa muda wa miezi kadhaa na kuhakikisha hilo linafanyika kwa ufatiliaji wa karibu zaidi ili kuthibitisha linatekelezwa mara moja. Nadhani tukianza kwa adhabu kama hiyo, watatia akili na katu hawatoitamani tena hiyo 'Mishikaki' watakuwa radhi wale chips tupu (Wakose abiria) kuliko hiyo mishikaki inayohatarisha maisha na usalama wa abiria na kusababisha ajali za mara kwa mara.
ReplyDeleteHuu ni kama mtego wa panya. Yo yote yule aweza kuumia au kupoteza maisha. Komesha yake ni rahisi kidogo.Kila mmoja katika mshikaki faini shillingi elfu kummi, na pikipiki ikamatwe kuwa mali ya serikali,simple, watakoma
ReplyDelete