Baadhi ya Wabunge wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa wakiwa kwenye mabasi ya mwendokasi, ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya kutembelea mradi wa Mabasi hayo (Udart) leo Jijini Dar es salaam.
Wabunge hao wakiwa kwenye Basi.
Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa wakipata maelezo juu mfumo wa mabasi ya mwendokasi katika ofisini za Udart jangwani Jijini Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...