MKURUGENZI wa  Halmashauri ya  wilaya ya Namtumbo Bw. Christopher  Kilungu (kushoto)  akiongoza baraza la madiwani kulipitia kabrasha la  kikao hicho. 
Kikao hicho cha baraza la madiwani katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  kilimkataa kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa  walimu (TSC)  Boniphace Fungo na kutoa onyo kwa watumishi wawili - Mkuu wa  idara ya kilimo Ally Lugendo na mkuu wa idara ya Ujenzi  David Mwanapemba - na pia kilimuagiza Mkurugenzi wa  Halmashauri hiyo kuwachukulia hatua ya kinidhamu Mkuu wa  idara ya fedha Clodwick Mapunda na Mkuu wa idara ya Manunuzi  kwa  utendaji usioridhisha kwenye idara zao
 Kikao cha baraza la madiwani katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kikiendelea
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo wakiwa kwenye kikao cha baraza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...