Mmoja wa wacehezaji wa timu ya Lugalo Golf Club,Nicholaus Chitanda akionesha makombe waliyoyanyakuwa
mara baada ya timu yao kuibuka washindi wa mashindano ya Golf
yaliyojulikana kwa jina la MOSHI OPEN,yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro
mwishoni mwa wiki.Timu hiyo ya golf ya Jeshi ya Lugalo imewapa raha
wanachama wake akiwemo Mlezi wa Klabu hiyo ambaye ni Mkuu wa majeshi ya
Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange kwa kurejesha Ubingwa wa mashindano ya
MOSHI OPEN.Timu
hiyo ya Golf imeirejesha heshima yake kwa wanachama na wapenzi wake
kwa kuibuka na vikombe,ambapo mara ya mwisho klabu hiyo kuibuka na
ushindi ilikuwa ni mwaka 2014.
Timu ya Lugalo Golf Club wakiwa katika picha ya pamoja mara baada
ya kuibuka washindi wa mashindano ya Golf yaliyojulikana kwa jina la MOSHI OPEN,yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki,Mashindano hayo yalizishirikisha timu ya Ghymkana,timu ya Golf Moshi pamoja na timu ya Gofu ya jijini Arusha.
ya kuibuka washindi wa mashindano ya Golf yaliyojulikana kwa jina la MOSHI OPEN,yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki,Mashindano hayo yalizishirikisha timu ya Ghymkana,timu ya Golf Moshi pamoja na timu ya Gofu ya jijini Arusha.
Mmoja
wa washiriki wa timu ya Lugalo Golf Club Noel Mheni akiwa mwenye furaha mara baada
ya kuibuka washindi wa mashindano ya Golf yaliyojulikana kwa jina la
MOSHI OPEN,yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.Timu hiyo
ya golf ya Jeshi ya Lugalo imewapa raha wanachama wake akiwemo Mlezi wa
Klabu hiyo ambaye ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis
Mwamunyange kwa kurejesha Ubingwa wa mashindano ya Moshi Open .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...