Nyota wa timu ya Mpira wa Miguu ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 – Serengeti Boys wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada Kikosi ya mazoezi kwenye viwanja vya mazoezi ya Uwanja wa FNB, Johannesburg Afrika Kusini.
Nyota wa timu ya Mpira wa Miguu ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 – Serengeti Boys wakiwa na furaha ya aina yake mara baada Kikosi ya mazoezi kwenye viwanja vya mazoezi ya Uwanja wa FNB, Johannesburg Afrika Kusini.
Mmoja wa makipa wa Serengeti Boys, Kelvin Kayego akinolewa na Kocha, Juma Kaseja.(Picha na Alfred Lucas wa TFF).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...