Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe leo Jumatano 03/08/2016 amemtembelea Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Yustino Ndugai nyumbani kwake Salasala jijini Dar es salaam, ambae amerejea hivi karibuni kutoka nchini India ambako alikwenda kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake.
Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe akizungumza jambo na Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Yustino Ndugai nyumbani kwake Salasala jijini Dar es salaam, alipokwenda kumjulia hali leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...