Nahodha wa zamani wa Timu ya Coastal Union na Mdau mkubwa wa Michezo nchini,  Tippo Athumani akikabidhi vifaa vya Michezo kwa Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union ya Jijini Tanga, Steven Mnguto ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya ligi daraja la kwanza Tanzania Bara. Makabidhiano hayo yamefanyika Agosti 22, 2016 kwenye Duka la Vifaa vya Michezo la Zizzou Fashion, Sinza Jijini Dar es salaam. vifaa hivyo ni pamoja na Beebs, Cones, Mipira na Jersey set mbili watakazochezea ligi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...