Nahodha wa zamani wa Timu ya Coastal Union na Mdau mkubwa wa Michezo nchini, Tippo Athumani akikabidhi vifaa vya Michezo kwa Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union ya Jijini Tanga, Steven Mnguto ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya ligi daraja la kwanza Tanzania Bara. Makabidhiano hayo yamefanyika Agosti 22, 2016 kwenye Duka la Vifaa vya Michezo la Zizzou Fashion, Sinza Jijini Dar es salaam. vifaa hivyo ni pamoja na Beebs, Cones, Mipira na Jersey set mbili watakazochezea ligi hiyo.
Home
MICHEZO
Mdau wa Soka nchini, Tippo Athuman akabidhi vifaa vya michezo kwa Timu ya Coastal Union
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...