Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe. William Lukuvi akizindua rasmi Miradi ya upatikanaji wa picha za anga (Basemap) na mfumo unganishi
wa taarifa za Ardhi (ILMIS) . Wanaoshuhudia pamoja naye; Kulia kwake ni Waziri
nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Mhe. George
Simbachawene, kushoto kwake ni Naibu wake; Mhe. Angeline Mabula katika Ukumbi
wa Mikutano wa kimataifa wa Mwl. J.K. Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe. William Lukuvi akiwa amemaliza tukio la
Uzinduzi wa Miradi ya upatikanaji wa picha za anga (Basemap) na mfumo unganishi
wa taarifa za Ardhi (ILMIS) . Wanaoshuhudia pamoja naye; Kulia kwake ni Waziri
nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; Mhe. George
Simbachawene, kushoto kwake ni Naibu wake; Mhe. Angeline Mabula na pembeni
kabisa ni Katibu Mkuu wake; Dk. Yamungu Kayandabila katika Ukumbi wa Mikutano
wa kimataifa wa Mwl. J.K. Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mhe. William Lukuvi akisisitizia jambo wakati wa
Uzinduzi wa Miradi ya upatikanaji wa picha za anga (Basemap) na mfumo unganishi wa taarifa za Ardhi
(ILMIS) , katika Ukumbi wa Mikutano wa kimataifa wa Mwl. J.K. Nyerere, jijini
Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...