Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt.Binilith Mahenge(aliyevaa kofia) akiwa na mbunge wa Madaba Joseph Mhagama wakiwa kwenye zoezi la ufyatuaji tofali kwenye kijiji cha Magingo kata ya Mkongotema
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt Binilith Mahenge akishiriki kazi ya ufyatuaji tofali ikiwa ni kampeni ya Mkoa kuwezesha kupata benki ya tofali kwenye halmashauri ya wilaya ya Madaba leo.Jumla ya tofali 430,000 zimelengwa kufyatualiwa kijiji cha Magingo sasa zipo tofali 150,000
Wananchi wa kijiji cha Magingo wilaya ya Songea wakishiriki kazi ya ufyatuaji matofali
Sehemu ya matofali yaliyofyatuliwa na wanakijiji wa Magingo kata ya Mkongotema wilaya ya Songea
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge akikagua mradi wa maji wa kijiji cha Mkongotema unaohudumia wananchi wapatao 9,500.
Matofali yatumike kuboresha makazi.
ReplyDelete