Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt.Binilith Mahenge(aliyevaa kofia) akiwa na mbunge wa Madaba Joseph Mhagama wakiwa kwenye zoezi la ufyatuaji tofali kwenye kijiji cha Magingo kata ya Mkongotema
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt Binilith Mahenge akishiriki kazi ya ufyatuaji tofali ikiwa ni kampeni ya Mkoa kuwezesha kupata benki ya tofali kwenye halmashauri ya wilaya ya Madaba leo.Jumla ya tofali 430,000 zimelengwa kufyatualiwa kijiji cha Magingo sasa zipo tofali 150,000
 Wananchi wa kijiji cha Magingo wilaya ya Songea wakishiriki kazi ya ufyatuaji matofali
 Sehemu ya matofali yaliyofyatuliwa na wanakijiji wa Magingo kata ya Mkongotema wilaya ya Songea
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge akikagua mradi wa maji wa kijiji cha Mkongotema unaohudumia wananchi wapatao 9,500.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Matofali yatumike kuboresha makazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...