Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi akijaza fomu ya kujiunga na Mfumo wa Wote Scheme kupitia Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati alipotembelea Banda la PPF katika maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane, yaliyofanyika kitaifa Mkoani Lindi. PPF imeuanzisha Mfumo huo wa hiari wa kujiwekea akiba kwa wale ambao wapo kwenye sekta rasmi na sekta binafsi kama Wakulima, Wafugaji, Wavuvi, Mama Lishe, Wajasiriamali na wote wanaojiajiri wenyewe wanapata fursa ya kuchangia na kupata faida kuu nne kama vile kupata bima ya afya, fursa ya mikopo ya maendeleo na mikopo ya Kujiendeleza kielimu pamoja na mafao ya uzeeni
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi akijaza fomu ya kujiunga na Mfumo wa Wote Scheme kupitia Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati alipotembelea Banda la PPF katika maonyesho ya Kilimo ya Nane Nane, yaliyofanyika kitaifa Mkoani Lindi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PPF, Janet Ezekiel akishuhudia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...