Mratibu wa Mashindano ya Mpinga Cup 2016 , A.S.P Mbunja Matibu, akikagua timu za kundi B zinazoshiriki kwenye Michuano hiyo, kwa Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja wa Magereza Ukonga mwishoni mwa Wiki iliyopita, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).
Picha zote na Traffic MakaoMakuu

 Mkaguzi wa Polisi Hamisi Membe akifundisha waendesha pikipiki (Bodaboda), kuhusu Alama za Usalama Barabarani, wakati wamashindano ya Mpinga Cup 2016 yanayoshirikisha Madereva wa Bodaboda, yaliyofanyika kwenye uwanja waMagerezaUkongamwishoni mwajuma, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).(
 Mrakibu wa Polisi Methew Msuyale (kushoto) akikabidhi Fulana  kwa kiongozi wa timu mojawapo zilizoshiriki kwenye hatua ya Mtoano kutoka kundi B kwenye ya Mpinga Cup 2016, iliyochezwa kwenye uwanja wa Magereza Ukonga Mwishoni mwa wiki iliyopita. Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).
  Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akikagua timu katika  mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).
 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani (T) DCP Mohammed Mpinga akiwataka na kuwaelimisha waendesha pikipiki (Boda Boda) kuzingatia, kuzifuata na kuziheshimu Sheria za Usalama Barabarani ili kuweza kupunguza wimbi la ajali za waendesha Pikipiki hapa nchini. Kupitia mashindano ya Mpinga Cup 2016 inayohusisha waendesha Pikipiki Mkoani Ilala, Dar es Salaam, Lengo kuu la Mashindano hayo ni kutoa elimu ya Usalama Barabarani kwa Waendesha Pikipiki (Boda boda).


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...