Naibu SpikA, Dkt. Tulia Ackson akionyeshwa zawadi ya Jarida la Watoto alilopewa na Ujumbe wa Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo, Won Yoochul.
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Ujumbe Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakiongozwa na kiongozi wao Won Yoochul.
Naibu SpikA, Dkt. Tulia Ackson akipokea zawadi ya Taa ya Solar alilopewa na Ujumbe wa Wabunge kutoka Korea ya Kusini walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, kulia ni Kiongozi wa Ujumbe huo, Won Yoochul.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...