Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya shirika hilo Upanga jijini Dar es salaam kuhusu wadaiwa sugu wa pango katika shirika hilo moja ya wadaiwa waliotajwa ni Jengo la Club Billicanas ambali linadaiwa Bilioni moja, Kulia ni Meneja Mauzo wa NHC Bw. Itandula Gambalagi na katikati ni Muungano Saguya Meneja katika ofisi ya Mkurugenzi.
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya shirika hilo Upanga kushoto ni Hamad Abdalla Mkurugenzi wa Miliki NHC na katikati ni Suzan Omari Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano NHC. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...