Kaimu Afisa Mkuu Wateja Binafsi wa NMB, Boma Raballa pamoja na Mratibu
wa Mashindano ya Rock City Marathon, Mathew Kasonta wakikabidhiana Mfano
wa Hundi yenye thamani shilingi milioni kumi kwa ajili ya maandalizi ya
Mashindano ya Rock City Marathon kwa Kampuni ya Capital Plus
International Ltd anaeshuhudia nyuma ni Msimamizi Mkuu wa Kampuni hiyo
ya Capital Plus, Erasto Kilawe
Kaimu Afisa Mkuu Wateja Binafsi wa NMB, Boma Raballa akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa kukabidhiana Mfano wa Hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa Waandaaji wa Mashindano ya Rock City Marathon kwa mwaka 2016 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wanahabari wakimsikiliza Mratibu wa Mashindano ya Rock City
Marathon, Mathew Kasonta wakati wa hafla ya kukabidhiana mfano wa hundi
yenye thamani ya shilingi milioni kumi iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Mratibu wa Mashindano ya Rock City Marathon, Mathew Kasonta akizungumzia
juu ya maandalizi waliyoyafanya katika mashindano ya Rock City Marathon
kwa mwaka 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...