Kaa tayari kupata habari na matukio motomoto yatakayo kua yakijiri kutoka eneo la Rujewa, Wilayani Mbararali mkoani Mbeya ambako tukio kubwa la kihistoria Duniani linakwemda kushuhudiwa hapo kesho kwa JUA KUPATWA KIPETE.
Kampuni yako ya magazeti ya Serikali (TSN) ambao ni wachapaji magezti ya Daily News, Habarileo, Spotileo, Sunday News na Habaroleo Jumapili itakuwa ikikurushia matukio hayo kupitia mitandao yake ya http://www.dailynews.co.tz na http://www.habarileo.co.tz
HAPA KAZI TU.....HAKUNA KULAZA HABARI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...