Kaa tayari kupata habari na matukio motomoto yatakayo kua yakijiri kutoka eneo la Rujewa, Wilayani Mbararali mkoani Mbeya ambako tukio kubwa la kihistoria Duniani linakwemda kushuhudiwa hapo kesho kwa JUA KUPATWA KIPETE.
Kampuni yako ya magazeti ya Serikali (TSN) ambao ni wachapaji magezti ya Daily News, Habarileo, Spotileo, Sunday News na Habaroleo Jumapili itakuwa ikikurushia matukio hayo kupitia  mitandao yake ya http://www.dailynews.co.tz na http://www.habarileo.co.tz 

HAPA KAZI TU.....HAKUNA KULAZA HABARI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...