Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Mesigwa Baregu (kulia), akizungumza katika kongamano la Umoja wa Vijana wa Chadema (Bavicha), ikiwa ni maadhimisho ya siku ya vijana duniani lililofanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo mchana. Kushoto ni Mtoa mada katika kongamano hilo, David Kafulila.
Mtoa mada katika kongamano hilo, David Kafulila akichangia mambo mbalimbali.
Mada zikiendelea kutolewa.
Mimi in mwalimu wa physics & mathematics natafuta kazi 0715758500
ReplyDeleteMwalimu wa physics &mathematics natafuta kazi Niko kimara Dsm 0715758500
ReplyDelete