Rais
wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wananchi mara baada ya kuwasili katikati ya jiji la Mwanza akitokea wilayani Sengerema Jumatano Agosti 10, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kwa furaha na mamia ya wananchi eneo la Nyegezi stand jijini Mwanza wakati akitokea Wilayani
Sengerema.
MKUU WA NCHI NAPENDA SANA MANENO YAKO YA KUJARI WANYONGE, KWANI ONGOZA KUTOKEA NYUMA NA KUWAFANYA WENGINE WAAMINI WAO NDIYO WAKO MBELE.
ReplyDeleteDR JAMESY