Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipungia wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kuwahutubia wana-CCM wa Dar es salaam baada ya Ofisi Ndogo za CCM mtaa wa Lumbumba leo agosti 12, 2016.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Dar es salaam.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akifurahia burudani za aina mbalimbali wakati alipowasili Jijini Dar es salaam leo, akitokea Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipiga ngoma kutoka kwa moja ya vikundi vilivyokuwepo uwanjani hapo.
Hongera kwa kazi nzuri. Mimi ninaswali, ni lini barabara ya Africana inayotokea Morocco inawekewa taa za kumulika usiku. Sehemu ni nzuri kuna watu wengi lakini tatizo ni giza usiku. Vile vile ni vizuri barabara ya Morocco Tegeta nayo ikawekewa taa za kuwaka usiku ili mambo yaende sawa. Tunaomba wanao husika na kuweka taa barabarani washughulikia barabara hizi mbili. Ikiwezeakan na hata ile ya kupitia ununio mpaka boko nayo iwekwe taa. Jiji litapendeza na watu wenye fedha na mitaji watapenda kuja kuwekeza Tanzania na kuishi Tanzania. Tulipende jiji letu, tuipende nchi yetu.
ReplyDelete