Mkuu wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza akimkabidhi msaada wa bati 100 pamoja na madawati 100 vyote vikiwa na thamani ya Tsh milioni 7.2 mkuu wa kituo cha Yatima cha Faraja Mgongo kata ya Nduli Manispaa ya Iringa Padri Franco Soloberi jana , mkuu huyo ametoa msaada huo kufuatia janga la moto lililoteketeza majengo ya kituo hicho mwezi uliopitaanayeshuhudia kushoto ni diwani wa kata ya Nduli Bashir Mtove.
Diwani wa kata ya Nduli Bashir Mtoveakimpongeza mkuu wa mkoa wa Iringa kwa kutekeleza ahadi yake ya madawati na bati.
RC Iringa Amina Masenza akimkabidhi mkuu wa kituo cha yatima cha Faraja Mgogo Padri Franco Soloberi madawati 100 kulia ni diwani wa Nduli Bashir Mtove
Diwani wa Nduli Bashir Mtove na mkuu wa kituo cha Faraja Padri Franco wakipiga makofi kumshukuru RC Masenza kwa msaada wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...