SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amelaani tukio la ujambazi lililosababisha vifo vya askari polisi wanne na wengine kujeruhiwa.https://youtu.be/iIwECCU8-eY
SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameagiza mikoa yote nchini kuunda kamati za amani lengo likiwa ni kudumisha amani na utulivu uliopo nchini.https://youtu.be/bJR4M24sf3o
SIMU.TV: Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru amejitokeza na kuwasihi wazee wakiwemo maraisi wastaafu kujitokeza na kusuluhisha hali ya kisiasa iliopo nchini. https://youtu.be/FtGv9I1EX0o
SIMU.TV: Taasisi ya utawala bora na maendeleo Tanzania CEGODETA imevitaka vyama vya siasa kuzingatia madhumuni ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.https://youtu.be/9U_QSu7mfKc
SIMU.TV: Wananchi wa mkoa wa Mbeya wametakiwa kutojihusisha na maandamano ambayo hayajaruhusiwa kisheria maana kufanya hivyo ni kuvunja sheria,https://youtu.be/oXVId337jv8
SIMU.TV: Rais Dr John Pombe Magufuli amemuapisha Dr Modestus Fransis Kipilimba kuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa. https://youtu.be/dKNXfVfRmqg
SIMU.TV: Shirika la nyumba la taifa NHC limewataka wadaiwa sugu wa madeni ya kodi kulipa ndani ya mwezi mmoja vinginevyo wataondolewa ndani ya nyumba walizopanga.https://youtu.be/5tAK5uX7tv8
SIMU.TV: Wakulima wa zao la korosho wilayani Liwale mkoani Lindi wametakiwa kufuata utaratibu uliotolewa na serikali wa kuhakikisha wanalipwa kupitia benki ili kuepusha wizi.https://youtu.be/uxAu_kBADjc
SIMU.TV: Waziri wa fedha na mipango Dr. Philip Mpango ametoa ushauri kwa serikali ya mkoa wa Kigoma kuongeza nguvu katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kuweza kuboresha huduma za jamii. https://youtu.be/2BoFKAMDwS0
SIMU.TV: Kocha mkuu wa timu ya taifa Cherles Boniphace Mkwasa ametaja kikosi cha wachezaji 20 kitakachoivaa timu ya taifa ya Nigeria. https://youtu.be/Lpw1VKQEtsE
SIMU.TV: Kocha wa timu ya taifa ameipongeza timu ya vijana ya Serengeti boys na kuwaasa wachezaji wa timu hiyo kutojiingiza katika kusajiliwa na vilabu vikubwa maana hawatapata nafasi ya kucheza. https://youtu.be/GeZbV_uapIY
SIMU.TV: Timu ya Toto Afrika ya Mwanza imeutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani baada ya kuichapa Mwadui fc bao moja kwa bila katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.https://youtu.be/38iV06-I20I
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...