SIMU.TV: Serikali imetoa tani 100 kwa ajili ya kaya 850 zilizokumbwa na njaa baada ya vyakula vyao kuharibiwa na mafuriko wilayani Ludewa mkoani Njombe;https://youtu.be/yNk4dIlAOVs

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Tanga limefanikiwa kuwauwa watu 2 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi huku likiwasaka wengine 2 waliokimbia; https://youtu.be/Pk-V_dM99Tc

SIMU.TV: Naibu waziri wa kilimo, uvuvi na ufugaji William Ole Nasha, ametoa agizo kwa mrajisi wa vyama vya ushirika kwenda kuchunguza mkoani Mtwara ili kubaini kama kuna wizi wa fedha umefanyika; https://youtu.be/F_A1626ogzc

SIMU.TV: Waziri wa ujenzi mawasiliano na uchukuzi Prof Makame Mbarawa, ameagiza kuvunjwa kwa nyumba na majengo yote yaliyojengwa katika hifadhi ya reli Tazara;https://youtu.be/zEmdNrfznls

SIMU.TV: Benki ya NMB imetenga zaidi ya Bilioni 500 kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wakulima na wafanyabiashara ili kukuza sekta ya kilimo; https://youtu.be/tuumQyZGK3M

SIMU.TV: Serikali imeanza kutoa mafunzo ya sheria ya VAT ili kuleta uwiano sawa kwa wananchi na kuepusha sintofahamu kama ilivyotokea hapo awali;https://youtu.be/0ZknjHLnXaM

SIMU.TV: Kampuni ya Yono Auction Mart imefanikiwa  kushinda tuzo ya kimataifa kutokana na utendaji kazi wake mzuri uliotukuka; https://youtu.be/6wOZ6XRbr2g

SIMU.TV: Timu ya jeshi la Tanzania hii leo imekabidhiwa bendera ya taifa tayari kwenda kuipeperusha kwenye mashindano yanayohusisha majeshi nchini Rwanda ;https://youtu.be/pQs7itbLuwI

SIMU.TV: Shirikisho la soka nchini TFF kwa kushirikiana na FIFA, limeandaa kozi maalumu kwa ajili ya makocha wa magolikipa ili kuwaongezea uwezo walinda milango nchini;https://youtu.be/AUaEi-GK6-o

SIMU.TV: Katika muendelezo wa kuzichambua timu mbalimbali za ligi kuu Tanzania bara, leo hii tutakuwa na timu ya Stand United kutoka mkoani Shinyanga;https://youtu.be/Nw4isbf4g9g

SIMU.TV: Timu ya taifa ya Nigeria maarufu kama Super Eagles, imechelewa kuwasili kwa wakati kwenye michuano ya Olimpiki nchini Brazil kwa kile kinachodaiwa ukosefu wa nauli; https://youtu.be/Zpy6WZvhmp4

KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...