SIMU.TV: Wakazi wa vijiji vinavyopakana na mto Kagera katika wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, wameiomba serikali kuingilia kati katika kutafuta amani ya wananchi wanaoishi kando ya mto huo; https://youtu.be/EQb4fNhWiWM

SIMU.TV: Wakazi wa kijiji cha Chakama katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wameelezea masikitiko yao ya kukosa huduma za kijamii toka kupatikana kwa uhuru;https://youtu.be/t1wBjZjHl7c

SIMU.TV: Makamu wa Rais Samia Suluhu amesema, serikali imedhamiria kuwapatia miradi mbalimbali wahandisi wazawa ili waweze kuendeleza ujuzi wao;https://youtu.be/IuXd2a6pvBo

SIMU.TV: Waziri wa ujenzi, mawasiliano na uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema, serikali inajitahidi kukarabati kwa uharaka kamera zilizoko eneo la ukaguzi ili kuimarisha usalama bandarini hapo; https://youtu.be/4aSXvNikE8k

SIMU.TV: Serikali imeziagiza halmashauri za wilaya mkoani Ruvuma kuanzishwa kwa vikundi vya ushirika ili kurahisisha utoaji wa mikopo; https://youtu.be/71eCdfDNbsY

SIMU.TV: Wizara ya ujenzi. mawasiliano na uchukuzi imesema, serikali ya Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa wataalamu hususani katika sekta ya usafirishaji;https://youtu.be/A-thZYVsv-g

SIMU.TV: Kampuni za Bima nchini, zimetakiwa kuzingatia miongozo ya utendaji kazi wao ili kuepuka migogoro isiyokuwa na sababu za msingi; https://youtu.be/Alfu9IGcBck

SIMU.TV: Naibu waziri wa mambo ya ndani nchini Hamad Msauni, amezindua rasmi mashindano ya mpinga cup yenye lengo la kutoa elimu kwa wananchi juu ya usalama barabarani; https://youtu.be/0QPbeE4Tc1U

SIMU.TV: Wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini timu ya soka ya Yanga, inatarajia kujitupa uwanjani siku ya kesho kurudiana na timu ya Mo Bejaia katika kombe la shirikisho barani Afrika; https://youtu.be/o-QRM_oqBcY

SIMU.TV: Timu ya majeshi ya mchezo wa mikono ya Tanzania imefanikiwa kuifunga timu ya mchezo huo kutoka Uganda katika mashindano yanayoendelea nchini Rwanda;https://youtu.be/btI8ETVai-U

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...