Kwenu ndugu jamaa na marafiki, Mzee wetu John Lugendo maarufu kwa jina la Mzee Joel  (pichani) hatunaye tena. Mzee Joel amefariki baada ya kudondoka ghafla na kuchukuliwa na ambulance hadi hospital ya Washington Adventists.
Binafsi nafahamiana na Mzee Joel kwa zaidi ya mika 10. Mzee Joel ni moja ya watu walio nipa miongozo nilipo fika Marekan. Kwa sasa tunafanya mpango wa kumrudisha nyumbani.
Bajeti ya gharama za kumrudisha nyumbani ni $15,000.00 ambapo tumefungua account ya bank na gofundme. Kwa moyo mkunjufu na wadhati nakuomba utusaidie chochote ili tuweze kumrejesha nyumbani Mzee wetu Joel.
Bank of America
Jasmine Bennett
Checking Acc #: 4460 3716 4777
Routing #: 052001633

Pia tutakua na harambee Jumapili hii August 28, 2016:
Indian SpringsTerrace Local Park
9717 Lawndale Dr, Silver Spring MD, 20901

Kuanzia 6:00pm to 10pm
Correction kwenye mawasiliano:
Kwa maelezo zaidi usisite kuwasiliana na:
1. Iddi Sandaly 
301-613-5165

2. Mchungaji Mbatta
703-863-2727

3. Lilian Morgan 
240- 351 3438

4. Samuel Mushi 
469- 290 -9529

5. Saidi Mwamende 
301-318-1501

6. Mama Mushala 
301-807-4934


Mungu akuzidishie pale utakapo toa
Liberatus Mwang'ombe "Libe"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...